Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia
nakuambiaje shos, kila akienda kwa rafk zake wanamkataa, kila akijaribu iv wapi, sjui hata nan alimuambia aje kwangu, mtu sina mazoea nae wala hata sijawah kuongea nae, tunaona kwa macho bas,
Hujatulia Jack nakwambia
......
Mheshimiwa nimekwisha kueleza
..
Maneno matamu umejwisha niambia
Lakini hata moja bado hujatimiza
Hujatulia h.....nakuambia