Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Niliiona mapema nikaidaunilodi fasta. Gojazi ezi yujo. Happy weekend besti


Niliiona mapema nikaidaunilodi fasta. Gojazi ezi yujo. Happy weekend besti


Very true mkuu
Hata sibishiAsante mkuu
Kawaida yangu(kidding)
Ni nini hii??31303 Saint Anne
Kama hujui basiNi nini hii??
Hata sibishi


Tumoghele SowetoBest of Mbeya soko la Soweto.View attachment 2039496View attachment 2039498

Mwandiko kama huu kwenye pc unajina unaitwaje vile
Watu mna miandiko aisee![]()
usiniambie !!!Chaaa!Kama hujui basi

Haaa umecheka sanaMakubwa haya leo![]()
Hapo ndio umevurugika?
Siku hizi maisha yanachanganya hadi yamevuruga mwandiko.
Enzi za shule nilikuwa![]()
Nini kimekufurahisha sana🙃afu nipo kwenye mwendokasi
Mwandiko unaendanaga na marks mkuuHapo ndio umevurugika?
Bhasi ulikua mnoma sana.
Ni mwandiko tu ndio ulikua mzuri ama na marks nazo zilikua vyema?
