Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20211210-173508.jpg
 
Hapo ndio umevurugika?
Bhasi ulikua mnoma sana.
Ni mwandiko tu ndio ulikua mzuri ama na marks nazo zilikua vyema?
Mwandiko unaendanaga na marks mkuu
Mwandiko mtupu bila marks,mwalimu anapata wapi courage ya kuusifia!?


Nikikiotea kipepa basi nahakikisha nimepanga kazi nimeucharanga hadi nimshangaze mwalimu huko.
Kuna masomo yangu ambayo nilikuwa nanyooka nayo nayo nahakikisha najibu vizuri kuzidi wote na mwandiko nao ukinibeba basi mambo ni mambo.
Ila mengine nilikuwa kilaza tu.
 
Back
Top Bottom