Selfika na JF: Snap it. Show it

Ata mimi nililiona humu ila naona wengine wanaona poa ,nilichofanya nikawaignore post zao sioni ila hiz siku imekuwa too much walishawah kunikimbiza kwenye hili jukwaa
Hata mimi nimeshaiginoa watatu mpaka sasa ila wakikwotiwa si bado unaona tu kinachoendelea?
 
Rudia kusoma huu mstari kwa utulivu ..

Kwa utashi na hekima kuu una nafasi adhimu ya kufanya hili liwezekane..

Mjukuu ni utashi na hekima tuu.. Sio uonevu wala si kutafuta mkosaji ...ni UTASHI na ni HEKIMA.. Haya mawili huepusha shari nyingi.. Ukiweza YAZINGATIE.. nimetumia neno UKIWEZA ambalo bado linaturudisha kwenye UTASHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…