Huyu mwenzio mbona kazifanya kuwa sehemu ya utambulisho wake? Ukizitumia vizuri utapiga hela mpaka uombe poo. Kama ni MD kama ulivyogusia hapo juu utasikia tu wagonjwa "mi sitaki surgeon mwingine anifanyie operesheni mpaka yule mwenye dimpozi". Jikubali mkuu kwa sababu hakuna namna
Nipo kote kote mkuu wangu. Kule kwenye likes nilishatoka mazima. Huwa nasaka sehemu salama ambako kuna upendo, vicheko na furaha. Huku kulikuwa salama sema tu hivi karibuni kuna pepo la ushoga limeng'ang'ania halitaki kuondoka na wananzengo wanaporomosheana matusi hatari. Kuna haja ya kupumzika kidogo mpaka kutakapotulia. Kama kuna chimbo jingine ambako kuna furaha na upendo kama ilivyokuwa hapa nielekeze