Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyo Mungu wako asie na mizani namkataa ha ha haaWote motoni sawa ila je kwa kipimo kimoja au kuna atakaemzidi mwenzie moto?
Hivyo vipimo sasa jitahidi leo ufanye maombi umuulize Mungu vipimo vyake mkuu.
 
Hayo nayo yakatae tu.Kutamka hilo neno hadharani siwezi.

Ila mlevi linatamkika hata kwa watoto shangaa hapo tetea tu ila usilinganishe uzito wake.
Kwani wapi tumeyakubali mkuu?
Hebu onyesha tulipoyakubali sasahivi ili tuyakatae.
 
Shida ni hutumii tafsida dogo.. Ukiandika ushoga wala haishtui kuliko ilo neno unaloandika
Hata aliyeniquote aliandika hivyohivyo.
Mimi nimeflow tu vilevile.


Pia kiswahili nadhani nilikuwa mbovu darasani.
 
Hivi ana uhakika gani kuwa huyu dogo hakatazwi?
Hajui huyu dogo ground analimwa semina za maana kuhusu hayo,,au kila akilimwa semina itangazwe humu kuwa sasa tupo kuimbisha dogo injili.
 
Lakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika. + Bali wewe ukue katika mambo yale uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao, + na yakuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu. +(2Tim 3:13-15)
 
Anafikiri umechoka?
Akasome ule uzi wa Nyenyere wa mwaka juzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…