Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji322][emoji323][emoji322][emoji323][emoji2]
 
Kweli ni mfano mzuri unaonyesha maana mambo ya malumbano/matusi sio kabisa.

Eeh la muhimu hilo kaka, ng'ombe watahusika tu sana lazima usimamie show 😂😂
Me upole si nimerithi toka kwako kakangu😊🙏

Nishaselfika sana tu mie huku, angalia vizuri eti utaniona😃
 
Asante bageshi [emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]
 
Kweli kabisa aisee, huwa nakuwa inspired sana na watu kama ninyi ambao siyo short tempered na siku zote huwa mna positive response even towards negative comments thrown up on you and you dont care.

Haha japo siyo mzee kama unavyosema ila kuna watu wa umri wako wasingeweza vumilia kuona watu wenye umri kama wa cocastic wakiwajibu hivyo, wengine ndiyo kama hao wanatamani hata wamrukie vichwa.

Nimejifunza na naendelea kujifunza kuwa na positive attitude na kuacha kujishughulisha na mapungufu ya watu kama alivyosema mkuu The Monk, maisha mafupi sana haya kuweka makasiriko moyoni kisa binadamu.
 
Sema na we mwanangu tangu umebadili id ule uchizi wako umeupunguza sana asee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nimetingwa kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo, walau sahivi ndio napumua! Si unajua maisha yakibana [emoji38][emoji38][emoji38]
Waulize machizi hata vile vyakula majalalani sahv hawavipati bure!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…