Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ahsante
Hahahahha🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ile tenda angeenda Mshana
Mungu ni mwema![]()







84kg 🤣🤣Mimi ningewahi mapema angalau nikapunguze makali ya jua..
Uzuri mle ndani viyoyozi vimejaa.
Hivi wanachukua kuanzia kilo ngapi?
Hapa vimbaombao imekula kwetu![]()
Lakini si para yangu ya mwisho umeielewa?Sipo..ukikaa na mimi for 20mins utanielewa why nipo hivi
Ni wewe ndiyo unaongea hivyo? 😆Em jiselfishe kwanza wewe tumekumiss humu
Yes nimeelewa...but i have alot of things in my headLakini si para yangu ya mwisho umeielewa?
Hakuna mtu hana mambo mengi kichwaniYes nimeelewa...but i have alot of things in my head
Sawa mpendwaNa wewe unachochea tena? Aisee nitajitahidi nijiphotoe siku moja, wengine sio hobby zetu kabisa kupiga picha mweeeh
Mhh...i am different!Hakuna mtu hana mambo mengi kichwani
Hiyo ni kawaida kwa binadamu.
Kwanini unavuta ex wangu?
Kivipi?Mhh...i am different!
My head is very complex...no one can handle it..Kivipi?
Utofauti wako ni upi?
Ndiwoooo😁Ni wewe ndiyo unaongea hivyo? 😆
Utendee haki uzi wetu pendwa.Na wewe unachochea tena? Aisee nitajitahidi nijiphotoe siku moja, wengine sio hobby zetu kabisa kupiga picha mweeeh
Ila umenimotivate kuomba.
Nimejiona mzembe Sana, wewe pamoja na mtoto umeweza mimi sasa sina jukumu lolote nipo nashangaa tu![]()
Complex kivipi yaaniMy head is very complex...no one can handle it..
Mambo LenieNdiwoooo![]()
Yaani nimejiona mzembeAisee huu ndiyo muda wako, utumie ipasavyo. Ukishaanza kulea + majukumu mengine ya kifamilia; hizi ratiba zitakuwa zinakupita sana tu. Jiwekee akiba yako sasa