Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Naam Jackie ☺Depal kama Depal
Naam Jackie ☺Depal kama Depal
Hata sijuiKhaaa unajua imani yangu?
Afya kwanza.Hakuna tatizo mkuu bhasi tu nimeona condom zangu pendwa kabisa
Nowadays unanichunia bestNaam Jackie![]()

I'm good dogo.Sawa endelea kufurahi,uko poa lakini!?
HindiusmHata sijui
Nimekuchunia wapi mpendwa? Kila siku si tuko hapa 🤪Nowadays unanichunia best![]()
Eeeh?!?Hindiusm
Ahaaa unajua kabisa wanichuniaNimekuchunia wapi mpendwa? Kila siku si tuko hapa![]()

Kilo zimeniangusha 🤣🤣 ningeshaenda kuwa bibi krismasHaaa
Afu nilikuwa sijaelewa jamani
Kichwa changu kizito
I was born an adventist bcoz of my Dad n Mom. ..Eeeh?!?
Siyo muadiventist tena???
Natanguliza samahani kabla yote 🙏Ahaaa unajua kabisa wanichunia![]()
Mimi ningewahi mapema angalau nikapunguze makali ya jua..Kilo zimeniangushaningeshaenda kuwa bibi krismas

Vizuri sana kama ni nzuri kabisaNzuri kabisa Ely, za wewe?



Tuendelee kukaa mlimani.
Huenda muujiza wa picha ukatokea.
Kwahiyo wewe haupo huko?I was born an adventist bcoz of my Dad n Mom. ..
Jamani ... Mate ya uchu yamenijaa mdomoni.
Sipo..ukikaa na mimi for 20mins utanielewa why nipo hiviKwahiyo wewe haupo huko?
Sawa.
Lakini Yesu alikuja kwa ulimwengu wote,hata hao wahindu.