Selfika na JF: Snap it. Show it

Hili ndio tatizo la kua na mtu mmoja tu maisha yote[emoji854]

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Hujamaliza ndo tatizo la kuwa na mtu aliebarikiwa sanaaaaaaa! Ukimkosa unaanza kurandaranda tu na duniaπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™ƒπŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo binadamu wabishi sana khakhaa...
Nikikuelewa mbona nakugea vizuri tu maisha ndo hayahaya!!!![emoji854]
Kama sio ushemeji ushemeji ule mimi mwenyewe nilikuelewaga wewe tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] nimeona tu nisemee
 
Ahaaa huwezi jua wengine wamebarikiwa kiasi gani[emoji854]

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Tatzo lako huwajui wanawake mkuu

mwanamke hapendi mwanaume anayelialia na kulalamika,Kwa hiyo kaza Bob ✊..eeh tukaze mkuuπŸ˜…

Me mfukoni apecha alolo lkn siendi nao kinyonge,nakomaa nao Tu kibabeπŸ˜‚
Maisha yanaenda hata kama hawatutaki aseee.. hao mama zetu wazuri sana ila mmhπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…