Selfika na JF: Snap it. Show it

Kale kafeeling kanakuwepo pale paper yako inapobaki ya mwisho

Unajisikia nani sijui.
Speed test std 7. Hisabati maswali 50, nikajibu maswali 49 swali la mwisho nikaweka signature kwenye jibu. Nikascore 49/50, aisee mwalimu alinitia stiki nyingi akaona ni dharau. Nilipelekwa ofisi ya walimu aisee usiombe ukapelekwa ofisini halafu walimu wakaalikana
 
Umejuaje...kwa kweli nakojoa pazuri sana mkuu

Habari za asubuhi mkuu Satoh Hirosh
Habari za asubuhi kwangu ni kwema kbs mkuu
Leo tumeamka na baraka ya mvua

Kuhusu huyo mtoto Depal mtunze sn maana kuna wahuni tunammezea mate mithili ya fisi anavyotoka udenda Kwa kusubiri mkono wa binadamu uanguke pale anapoirusha rusha wakati anatembea😁
 

Mkuu wewe ulikuwa wale watu watukutu shule halafu vipanga ..


Hapo kila mwalimu anakuchapa anavyojisikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…