Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwenye story zenu huko si nilisikia ni Mshana Jr ?
Tayari mshabadili [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mimi nakataa kabisa..na niliuona huo Uzi wa bro Mshana Jr

kwenye ule Uzi Kuna sifa ya huyo Demis hao wanaomjua waliitaja nilicheka sn.. wanasema ana pua kubwa 'kweri kweri' kuliko ya Baba levo[emoji28]

Sasa hii sifa ya pua kubwa Tyr inakutenganisha wewe na yeye,wangesema Una dimpozi ya shavu moja ningekubali[emoji12]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Duh. Hahaha[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…