Mimi nakataa kabisa..na niliuona huo Uzi wa bro
Mshana Jr
kwenye ule Uzi Kuna sifa ya huyo
Demis hao wanaomjua waliitaja nilicheka sn.. wanasema ana pua kubwa 'kweri kweri' kuliko ya Baba levo
Sasa hii sifa ya pua kubwa Tyr inakutenganisha wewe na yeye,wangesema Una dimpozi ya shavu moja ningekubali
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app