Jamaa anatibua maji πππ, shida mkuu hatuna pesa.. kama pesa ingekuwepo mbona na sie tungekuwa nao.. acha tuzisake tu na sie tutapata wa kufanana na sie, ila sema ka Depal ni ka kisu sema ndio ivyo kama wahiwaaa π π
Mie nilitii kikamilifu mzee mwenye nyumba aliposema ikifika July ataeendelea kubaki Dar ni mwanaume, nikaona isiwe tabu. Nikabeba kibaiskeli na nguo zangu huyoo...najipumzikia huku machakani
Mie nilitii kikamilifu mzee mwenye nyumba aliposema ikifika July ataeendelea kubaki Dar ni mwanaume, nikaona isiwe tabu. Nikabeba kibaiskeli na nguo zangu huyoo...najipumzikia huku machakani