Kiboko ni screenshoot unaipiga hivyo, alafu unachapa screenshoot.. hakuna hata wa kuondoa ukungu, picha za mitandaoni nyingi napenda weka za screenshoot kwasababu hazi contain data
Tulibadilishana na majina.
Akaajiita Saint Jack,nikajiita Anne Palladino.,
Nikawa namwaga hadi mashairi mtoto wa watu kama mwanahiphop vile,
Nikamwandikia na maujumbe ya mahaba kwa mwandiko wangu mzuuri ..