Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Ohooo shauri yakombona mimi sina taarifa za kuwa mchepus wa mtu.
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Ohooo shauri yakombona mimi sina taarifa za kuwa mchepus wa mtu.
Haaa yupi tena?Na michepuko inauma mno
Unadate hadi na shemeji zako?

Yupo hapa nimekuja kumchukua yupo na ILANIMsalimie katibu muenezi wa ulevi.
Safi sanaYupo hapa nimekuja kumchukua yupo na ILANI
Mwwe nkamu ile picha naisubiri hadi leo.
Kumbe wapo wengi eeeh!!

Nice shoe...
Hilo muhimu kwa kada mtiifu Ila maisha ya bush ni Kama zile tulisoma zinaitwa ngano cjui tales Kama mambo ya kusadikikaSafi sana
Asisahau lile lemba.

Tuhadithie kidogoHilo muhimu kwa kada mtiifu Ila maisha ya bush ni Kama zile tulisoma zinaitwa ngano cjui tales Kama mambo ya kusadikika![]()
Vichekesho tu mtu kalewa kaanguka mbwa zinamramba usoni Hana habariiiTuhadithie kidogo



Wewe umenusurika kweli kwenye huo msala?Vichekesho tu mtu kalewa kaanguka mbwa zinamramba usoni Hana habariii![]()
Mwwe nkamu ile picha naisubiri hadi leo.

Nooo sababu hakuna ndio mana nashangaaKumbe wapo wengi eeeh!!![]()

Wacha weeh!
Kuna watu wanazipenda Moka zao asee mzee kaipaka mafuta kabisaNaona mzee aliekwambia we maliza tu chuo unitafuteakiwa katika ubora wake


Nini
Asante mdogo wangu, heshima kwako pia, glad pia upo poaHeshima yako kaka mkubwa.
Mimi mzima.