[emoji1]
Nitajitahidi kesho niweke picha.
Habari ya kusuka ni changamoto ..mimi huwa sipendi kuwashwa washwa kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuone.Hahaha kweli kabisa [emoji1787]..
Mimi yamenishinda sasa nipo nachana tu nywele ilimradi maisha yaende .
[emoji847][emoji847][emoji847]Binafsi navutiwa mno na mdada mwenye short hair halafu mweusi.nimekuwa mkweli kwakweli
Vutunguu sijui nitasuka lini tena,Haya tusubiri picha hiyo kesho
hair spray huwa zinasaidia kiasi ...
Changamoto kweli , kwa mfano ukisuka vitunguu unapendeza balaa ila maumivu sasa .
Kuna dada alishadondosha wigi kwenye mlango wa kuingia lecture room[emoji23][emoji23]
Yaani enzi hizo first year siku za mwanzo,Watu wanaona sifa kuwahi kuingia ..naye yupo anagombania kuwa wa kwanza ..Aisee Watu walivuta wigi ,ndani ana tumabutu kichwani kama tu nzi[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah maswala ya kubana tena..Dah jamani ,
mawigi mazuri ni yale ambayo unaweza bana kwa chini , unakuwa huru kidogo ..
Duh you are fukcing soo cute.😴 na filter zao
Wakiitwa wanakuja na masweta ya Tanzania mixer na masuruali bwanga 😂 mawardat
View attachment 1993983
Time to meditate... Nakaribia 😂Karibu mlango upo wazi imepigwa nyundo waiting for you.View attachment 1993993
Short hair hii? Mbona naona ni nywele nyingi
Vutunguu sijui nitasuka lini tena,
Nadhani hadi Yesu ashuke.
Spray ninayo,
Huwa napuliza kipilipili changu nikishakichana.
Kinang'aa kama sio kipilipili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ndefu sana ..Short hair hii? Mbona naona ni nywele nyingi
Nimewahi kusuka mara 1 tu tangu nimezaliwa.Vitunguu ni noma ,mimi huwa najisemea sisuki tena najikuta nimerudia tena .
😀😀😀Duh you are fukcing soo cute.
Black safiiiiiii
Ooh zinauma jamani hizi nywele .
Kuna rafiki angu tulimfumua usiku 😂 mtoto wa watu hadi damu puani, alifumua na kunyoa juu.Vitunguu ni noma ,mimi huwa najisemea sisuki tena najikuta nimerudia tena .
Ni natural or? Weka curly😍Sio ndefu sana ..
Napenda kuhudumia na wakaka saluni maana wanajua kuchana style balaa .
Dah pole yake wengine huwa wanakanda na maji ya moto huwa inasaidia kupunguza maumivu na kunywa Panadol pia .Kuna rafiki angu tulimfumua usiku [emoji23] mtoto wa watu hadi damu puani, alifumua na kunyoa juu.
Natural niringe ?Ni natural or? Weka curly[emoji7]
Twin kishimo. 😂Sipendi kusuka nywele nying Maana mie ni mvivu kukaai,yaani nimesuka nyingi ni tano,,,,,,napeneda nywele 2,nikichoka kusuka nazibana tu ata mwezi zinakuwa safi japo hazina dawaView attachment 1994000View attachment 1994002View attachment 1994003