Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli umemenena vizuri .
Hata ningekuwa mimi nisingeweza kutaja.

Mambo ya kumtangaza mtangaza mtu baadaye kitumbua hutiwa mchanga[emoji16]


Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakatifu mwandiko wako unaonesha mtu akisema suu unayabwaga bwaaaπŸ˜„πŸ˜„

Yes hakuna haja ya kusema unatoka na nani huo ni utoto uliopitiliza viwango
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyie mimi nimekumbuka kumbe tayari nilishamtaja,
Ni Palladino jamani,,,kama kuna mchepuko wake huko utapambana na hali yake😁

Wako ni yupi?
isije kuwa ashanipiga verse pmπŸ˜‚
😁😁😁😁😁

Kilichobaki shemdaring akufundishe kupiga vyombo.
 
Pale ambapo unakuta mzee baba kwenye kila PM ya mrembo wa selfika, yupo anaimbisha. And he is acting single[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hata mimi kuna wakati nakuwa singali kuna wakati nakuwa dabo mule mule inategemea niko mazingira gani tunaishi nao.kiukweli niko singo jaman 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…