Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,435
Huu mguu leo naweza nikauota..
Hakika utakuwa unaupungufu wa ndoto za kuotaHuu mguu leo naweza nikauota..
First class ya boti gani hii bro?
Binti. Umefuta guu dah! [emoji24][emoji24][emoji24]Hakika utakuwa unaupungufu wa ndoto za kuota
Mi nimeukosa kizembe tu halafu dah!Huu mguu leo naweza nikauota..
Daddy imejifuta yenyeweππBinti. Umefuta guu dah! [emoji24][emoji24][emoji24]
Pole Daddy ππMi nimeukosa kizembe tu halafu dah!
First class ya boti gani hii bro?
Basi siku nyingine nitalibahatisha tu guu. Leo haikuwa bahati yangu...Hujambo lakini?Daddy imejifuta yenyewe[emoji16][emoji16]
Mi nimeukosa kizembe tu halafu dah!
Bora kama ameufuta, maana nimeahidiwa kupewa mimi, wengine haina haja kuuona maana mtaumezea mate bure tu..Daddy imejifuta yenyeweππ
Eti 80,000 tu [emoji16][emoji16][emoji16]Hii wanaita Royal Class ya Azam, Kilimanjaro 7. Bei yake 80,000/- tu Bro.
Ukipewa nitakuja PM mkuu. Wewe ndo connection yangu pekee aisee. I hope hutaniangusha!Bora kama ameufuta, maana nimeahidiwa kupewa mimi, wengine haina haja kuuona maana mtaumezea mate bure tu..
Kabisa Daddy..Basi siku nyingine nitalibahatisha tu guu. Leo haikuwa bahati yangu...Hujambo lakini?
Mkuu, wahenga walinena, Bahati ya mwenzio usiitolee udenda!!Ukipewa nitakuja PM mkuu. Wewe ndo connection yangu pekee aisee. I hope hutaniangusha!
huyo unaemwambia aumezee mate ni Daddy..sijui unaelewa nduguBora kama ameufuta, maana nimeahidiwa kupewa mimi, wengine haina haja kuuona maana mtaumezea mate bure tu..
ππππEti 80,000 tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo parefu sana bro japo inaonekana iko poa mno. Nina ishu sana na huu usafiri wa majini lakini hii naweza kujikaza aisee hasa kama nikidunduliza mpaka kumudu hiyo 80K. Third class sh. ngapi?
huyo unaemwambia aumezee mate ni Daddy..sijui unaelewa
Mambo yamekuwa mambo hapa, sijaelewa..Ukipewa nitakuja PM mkuu. Wewe ndo connection yangu pekee aisee. I hope hutaniangusha!
Sio kwa Daddy SYB.kijana kaa vizuri ππ€£π€£Mkuu, wahenga walinena, Bahati ya mwenzio usiitolee udenda!!
huyo unaemwambia aumezee mate ni Daddy..sijui unaelewa ndugu
Yaani Daddy inamaana nikiupewa anakuwa baba mkwe au ni zile Daddy za kimjini mjini, nisije nikawa nashangilia bure tuπ³π³Basi siku nyingine nitalibahatisha tu guu. Leo haikuwa bahati yangu...Hujambo lakini?
Ni baba mkwe mkuu wala usiwe na wasiwasi [emoji16][emoji16][emoji16]Yaani Daddy inamaana nikiupewa anakuwa baba mkwe au ni zile Daddy za kimjini mjini, nisije nikawa nashangilia bure tuπ³π³