Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,252 Oct 16, 2021 #112,001 BUSH BIN LADEN said: Afe kipa afe bekiView attachment 1976762 Click to expand... Samahani kama hautojali Hiyo kwenye kichupa cha brown ni nini? Just curious
BUSH BIN LADEN said: Afe kipa afe bekiView attachment 1976762 Click to expand... Samahani kama hautojali Hiyo kwenye kichupa cha brown ni nini? Just curious
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,252 Oct 16, 2021 #112,002 mawardat said: Asee nenepa vyote lakini siyo tumbo,...kuna shoga angu yaani limemwagika kabisa Click to expand... Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika
mawardat said: Asee nenepa vyote lakini siyo tumbo,...kuna shoga angu yaani limemwagika kabisa Click to expand... Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,252 Oct 16, 2021 #112,003 donlucchese said: Kidogo twende kwenye 4-DimensionView attachment 1976806 Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app Click to expand... Daaaaah …. Hakuna mahali unaweza pata hii feelings aisee
donlucchese said: Kidogo twende kwenye 4-DimensionView attachment 1976806 Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app Click to expand... Daaaaah …. Hakuna mahali unaweza pata hii feelings aisee
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 26,081 Reaction score 137,302 Oct 16, 2021 #112,004 Hornet said: Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika Click to expand... Yaani likimwagika ni balaa,ata ukivaa hupendezi yaani
Hornet said: Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika Click to expand... Yaani likimwagika ni balaa,ata ukivaa hupendezi yaani
Omerta JF-Expert Member Joined Jan 3, 2016 Posts 6,156 Reaction score 7,807 Oct 16, 2021 #112,005 Depal said: Kabla sijawa na ndambi 🥴 sielewi hata nakitoaje 😣View attachment 1976773 Click to expand... Wow
Depal said: Kabla sijawa na ndambi 🥴 sielewi hata nakitoaje 😣View attachment 1976773 Click to expand... Wow
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 16, 2021 #112,006 ERoni said: Hii ahadi niliitoa mimi kweli dota? Click to expand... Kwamba wataka kujisahaulisha eh
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,252 Oct 16, 2021 #112,007 mawardat said: Yaani likimwagika ni balaa,ata ukivaa hupendezi yaani Click to expand... Nimepambana kimebakia cha chini kidogo Hakinisumbui
mawardat said: Yaani likimwagika ni balaa,ata ukivaa hupendezi yaani Click to expand... Nimepambana kimebakia cha chini kidogo Hakinisumbui
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 16, 2021 #112,008 Hornet said: Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika Click to expand... Nina la kuvimba jamani nalitoaje? 🤣🤣🤣
Hornet said: Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika Click to expand... Nina la kuvimba jamani nalitoaje? 🤣🤣🤣
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 16, 2021 #112,009 Heaven Sent said: Click to expand... Na wewe hapo bado nasubiria za kwako. Tangu mwaka 2011 nilivyoahidiwa hadi leo hola masikini ya Mungu daah.
Heaven Sent said: Click to expand... Na wewe hapo bado nasubiria za kwako. Tangu mwaka 2011 nilivyoahidiwa hadi leo hola masikini ya Mungu daah.
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 26,081 Reaction score 137,302 Oct 16, 2021 #112,010 Depal said: Nina la kuvimba jamani nalitoaje? Click to expand... Lina kunyima usingizi eeeh,
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 16, 2021 #112,011 BUSH BIN LADEN said: Afe kipa afe bekiView attachment 1976762 Click to expand... Hayo maganda ya blue ni pipi? Sent using Jamii Forums mobile app
BUSH BIN LADEN said: Afe kipa afe bekiView attachment 1976762 Click to expand... Hayo maganda ya blue ni pipi? Sent using Jamii Forums mobile app
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 26,081 Reaction score 137,302 Oct 16, 2021 #112,012 Hornet said: Nimepambana kimebakia cha chini kidogo Hakinisumbui Click to expand... Hongera....rafiki yangu yaanihalafu vile anapenda kuvaa magauni ya mpita mpira..nadhani umepata picha inakuwaje.
Hornet said: Nimepambana kimebakia cha chini kidogo Hakinisumbui Click to expand... Hongera....rafiki yangu yaanihalafu vile anapenda kuvaa magauni ya mpita mpira..nadhani umepata picha inakuwaje.
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,252 Oct 16, 2021 #112,013 Depal said: Nina la kuvimba jamani nalitoaje? Click to expand... Achana na bia kabisa
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 16, 2021 #112,014 Karma said: Ila we mtoto una maneno jamani khaaa Click to expand... Hujaona chebe limestawii? Hii unaipata? " shughulikaaaa, jifiche jifiche jifiche usinione... Shughulikaaaa macho mbele 😀
Karma said: Ila we mtoto una maneno jamani khaaa Click to expand... Hujaona chebe limestawii? Hii unaipata? " shughulikaaaa, jifiche jifiche jifiche usinione... Shughulikaaaa macho mbele 😀
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 16, 2021 #112,015 Jack Palladino said: View attachment 1976805 Click to expand... Kumekucha tena Sent using Jamii Forums mobile app
Jack Palladino said: View attachment 1976805 Click to expand... Kumekucha tena Sent using Jamii Forums mobile app
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 16, 2021 #112,016 Hornet said: Achana na bia kabisa Click to expand... 🤣 noma Sana. Nitajitahidi.
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,252 Oct 16, 2021 #112,017 mawardat said: Hongera....rafiki yangu yaanihalafu vile anapenda kuvaa magauni ya mpita mpira..nadhani umepata picha inakuwaje. Click to expand... Oops Mie hizo gauni sijawahi kufanikiwa kuvaa Kuna materials napendelea zinifichefiche kishkaji
mawardat said: Hongera....rafiki yangu yaanihalafu vile anapenda kuvaa magauni ya mpita mpira..nadhani umepata picha inakuwaje. Click to expand... Oops Mie hizo gauni sijawahi kufanikiwa kuvaa Kuna materials napendelea zinifichefiche kishkaji
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 16, 2021 #112,018 Hornet said: Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika Click to expand... Duh Tumbo linamwagikaje Sent using Jamii Forums mobile app
Hornet said: Halafu bora la kuvimba utalitoa kuliko likimwagika Click to expand... Duh Tumbo linamwagikaje Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 16, 2021 #112,019 Karma said: Na wewe hapo bado nasubiria za kwako. Tangu mwaka 2011 nilivyoahidiwa hadi leo hola masikini ya Mungu daah. Click to expand... Huyu tuendelee kumtazamia Kristo Sent using Jamii Forums mobile app
Karma said: Na wewe hapo bado nasubiria za kwako. Tangu mwaka 2011 nilivyoahidiwa hadi leo hola masikini ya Mungu daah. Click to expand... Huyu tuendelee kumtazamia Kristo Sent using Jamii Forums mobile app
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 16, 2021 #112,020 mawardat said: Lina kunyima usingizi eeeh, Click to expand... Aah wapi 🤣🤣 halijawa shapeless sana. Ingawa lina gram kama 900 hivi 😆
mawardat said: Lina kunyima usingizi eeeh, Click to expand... Aah wapi 🤣🤣 halijawa shapeless sana. Ingawa lina gram kama 900 hivi 😆