Selfika na JF: Snap it. Show it

2 Samuel: 1- 26

"26 Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake"


Mtumishi mwenzangu,

Kumuelezea huyu ndugu, nitumie hayo maneno ya mtumishi mwenzetu Daudi alipokua akiomboleza kuondokewa na rafiki yake Jonathan.

Huyu hakua ndugu wa damu. Alikua brother & bestfriend.

Kando na familia yangu, sikumbuki kuwa connected na mtu kama yule mwamba.

Ahsante sana mtumishi mwenzangu. AMEN

Mungu anabaki kuwa Mungu, regardless 🙏
 
I feel sorry for you baba mtumishi.
Ila Nina imani tutaonana naye Mbinguni,,


Umenikumbusha rafiki yangu mmoja jirani wa tangu utoto alipofariki,,hadi leo sijapata rafiki kama Yeye...
Baba yake huwa ananiita jina lake,maana tulikuwa kama mapacha .
Naelewa kufiwa na best friend jinsi kunavyoumiza.

Mungu akutie nguvu baba
nakuombea.

Selfika Kidogo baba mtumishi nafsi yangu ifurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen mama mtumishi. ahsante kwa maombi.

Pole kwa kumpoteza jirani & rafiki.

Ofcourse, nakuelewa vizuri katika hili, nadhani kwenye maisha kuna watu ni very unique.

Kuna aina ya watu hawana copy zao kabisa, not even bad copies.

Yote kwa yote tunamshukuru Mungu.

Selfie...nadhani wacha kwanza kazi iendelee. Nasema uongo mama mtumishi?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…