Nilimwambia mapema kila njia atakayoichagua na madhara yake.
Kwahiyo amechagua kula tunda basi awe tayari kufa,,,hilo lilikuwa wazi tangu mwanzo.
Mnataka kumlaumu MUNGU kwa kiburi chenu wenyewe?
Na alishaonya kwamba usile tunda la mti wa kati..
Hapo labda mumlaumu shetani.
Sent using
Jamii Forums mobile app