violence breeds violence,
i agree!!! π
watoto wanaotoka kwenye zile familia ambapo kuna domestic violence, baba anampiga ngumi mama, watoto wanaona... watoto wanaweza pata mental illness, kuna uwezekano mkubwa na wao wakaja kurithi hizo tabia.. au ataanza kuwa mkorofi sana kwa watoto wenzie na kuwapiga...