RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,807
- 129,666
Super Villain hapo natuliza njaa kwasababu nina uhakika jioni nitakula tena 😆😆
Hapo sawa 😆😆😆😆 maana kuna watu huo msosi hawatumii hata kijiko ni mkono unataosha kwann uchafue kijiko!Super Villain hapo natuliza njaa kwasababu nina uhakika jioni nitakula tena 😆😆
Na mimi natafuta mchumba haiwezekani watu mle raha wenyewe tu,

Kiafya zaidi sio, mlo kamili
Mweeee hapanaMbna km n xcul uniform,![]()
.



Nipo mzee nimepumzika kukesha vp ww?We kijana sio vizuri hivyo hatusalimianiumepotelea wapi
Sijawasalimia wadau kule muda ila all in all God is good kama tupo na afya njemaNipo mzee nimepumzika kukesha vp ww?
Uncleee sio#FlashbackFriday View attachment 1968021

Huyu mwanamama nyimbo zake karibia zote ni Kali.Hit track of all time![]()
Kama upo single simama tumsifu BwanaUnanicheka ehh,

EhhKama upo single simama tumsifu Bwana![]()



Wewe mbona una mchumba, ngoja tusimame tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana sio rahisi pia kuwa single

EhhWewe mbona una mchumba, ngoja tusimame tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana sio rahisi pia kuwa single
![]()

Mhuuu 🙂Uncleee sio![]()
Naomba uweke picha Yako mkuu nikuone.Hiki kifungua kinywa 😛😛😛

