RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,328
- 134,793
Super Villain hapo natuliza njaa kwasababu nina uhakika jioni nitakula tena 😆😆
Hapo sawa 😆😆😆😆 maana kuna watu huo msosi hawatumii hata kijiko ni mkono unataosha kwann uchafue kijiko!Super Villain hapo natuliza njaa kwasababu nina uhakika jioni nitakula tena 😆😆
[emoji38]Na mimi natafuta mchumba haiwezekani watu mle raha wenyewe tu,
Kiafya zaidi sio, mlo kamili
Unanicheka ehh [emoji38][emoji38][emoji38],[emoji38]
Mweeee hapana[emoji23].Mbna km n xcul uniform, [emoji23][emoji23]
Nipo mzee nimepumzika kukesha vp ww?We kijana sio vizuri hivyo hatusalimiani[emoji16][emoji16] umepotelea wapi
Sijawasalimia wadau kule muda ila all in all God is good kama tupo na afya njemaNipo mzee nimepumzika kukesha vp ww?
Uncleee sio [emoji12]#FlashbackFriday View attachment 1968021
Huyu mwanamama nyimbo zake karibia zote ni Kali.Hit track of all time [emoji355]
Kama upo single simama tumsifu Bwana[emoji16]Unanicheka ehh [emoji38][emoji38][emoji38],
Ehh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mbona una mchumba, ngoja tusimame tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana sio rahisi pia kuwa single[emoji41][emoji41]Kama upo single simama tumsifu Bwana[emoji16]
[emoji3590][emoji3590][emoji3590]#FlashbackFriday View attachment 1968021
[emoji38]Ehh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mbona una mchumba, ngoja tusimame tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana sio rahisi pia kuwa single[emoji41][emoji41]
Mhuuu 🙂Uncleee sio [emoji12]
Naomba uweke picha Yako mkuu nikuone.Hiki kifungua kinywa 😛😛😛