Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakuja manake si kwa Guu hilo, nitaomba angalau uniruhusu nikuguse hata mkono wako niamini kama ni wewe. Manake Mimi ni kizazi cha mwisho cha akina Thomaso tusioamini πŸ™ˆπŸƒπŸ»πŸƒπŸ»
Ukigusa hutonasia kweli? Maana .. 😁
 
Kuna michezo siji kuicheza maishani
Pale nina uhakika ukipanda utalia michozi 🀣🀣.

Tulipanda wawili, dk zimeisha imezimwa Mimi nikabaki juu weee nilishikwa na uoga. Ilipowashwa tena ili izunguke nirudi chini sijui aliwasha na speed kubwa? Maana kilinikuta kitu mpaka ananifungua mkanda machozi yananilenga πŸ§šβ€β™‚οΈ

Ila sikomi maana ina raha sana
 
Huko kwenye kulia machozi umeenda mbali mno.
Mimi siwezi kulia kwa sababu hata kujaribu kupanda siwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…