Pale nina uhakika ukipanda utalia michozi
.
Tulipanda wawili, dk zimeisha imezimwa Mimi nikabaki juu weee nilishikwa na uoga. Ilipowashwa tena ili izunguke nirudi chini sijui aliwasha na speed kubwa? Maana kilinikuta kitu mpaka ananifungua mkanda machozi yananilenga
Ila sikomi maana ina raha sana