View attachment 1959259
Baada ya kipindi kirefu kupita, hatimaye nimefumania mahali majani ya kunde. Walichonikosha ni mtindi kwa pembeniππππ
Huu mchanganyiko Una shauriwa sana kwa sisi Wazee πππ€Έπ½ππ»
Hii ishu ni very serious now days.
Tunalea kisasa sana kiasi kwamba wajibu wetu muhimu kama wazazi tunaukwepa. Leo unakuta natoka asubuhi kwenda kazini narudi saa 4 usiku watoto wamelala, weekend ndio kabisa nashinda kwenye mishe nyingine za kutafuta chapaa.
Wazazi wenzangu,tujitahidi kutenga muda kwaajili ya kuwafundisha watoto namna ya kuhusiana na wengine wawapo mbali nasi,tusipo fanya sisi dunia itawafundisha.
Utafutaji pesa usitufanye tukawa wabinafsi na kusahau wajibu wetu muhimu.
Suala la malezi kuhusu jambo hili halina uzito sana, ila sikatai malezi yasitolewe, but kupambana na hili suala linahitaji uwezo na mbinu yenye ushawishi kwa kuzuia,
Hili lipo ndani ya muhusika na linafanywa kwa siri sana,. Kikubwaa uhai tyuuh.
Teeena mie na umbea dam dam, heri nikose kula ila sio bundle khaaaah.
Ntakuaa nakupa tena ule hot hot, nipo vizuri sekta ya udaku, ukuda, ufukunyuku, umbea, nk