Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muhuni
IMG_20210924_151523_984.jpg
 
Hiyo mistari nimpigie nani,hile pisi Kali uliipataje
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nilikuwa moko moko mida ya jioni
basi nikala chocho flani nikawaona machalii flani wanamsumbua huyo manzi kipindi hata simjui, nikajua tu wanataka kumpiga tero, nikasema mtoto mzuri kama huyu hawezi fanyiwa na mie nipo, nikasogea nikawesemesha "oyaa sedere full" wakasema "haina gwera", nikawaambia "ni mori? mbona mnataka kumpiga ngeta huyo dada", jamaa wakanambia "bro acha kiraruraru basi, huu mlupo wako nini? "

nikawaambia "muacheni niwape masai mmoja", wakasema "oya kwa hio unajifanya una ngawira sana?", hapo nikaona hawa nikiwaacha wanaweza hata kumbaka ukizingtia machoni walionyesha wamenyonya cha orkokola, kwa kuwa huwa najiamini napiga makonde na baadhi ya mapigo ya judo mixer na karate nikasema nitapambana,

nikawaambia "oya wana sikieni hio haina gwera wala tantalila mie masai mmoja nawaachieni muacheni", basi jamaa mmoja akachomoa nike, daaah nikaona hapa hili disco siliwezi , bahati nzuri mfukoni nilikuwa na ngoto,

basi kwa kasi ya ajabu nilirudi nyuma halafu nikachomoa ngoto nikawaambia "oya acheni usoro, nitawadedisha", basi jamaa wakanyoosha mikono juu "oya kamanda haina daz, hatuna noma sie", nikamwambia yule binti sogea hapa karibu yangu.

aaaaahhhh nifupishe story, niliwakamata wote nikawapeleka polisi, basi ndio mtoto akanielewa sana akaniomba hadi namba, ndio ikawa hivyo sikuwahi kumpa mistari.
 

nilikuwa moko moko mida ya jioni
basi nikala chocho flani nikawaona machalii flani wanamsumbua huyo manzi kipindi hata simjui, nikajua tu wanataka kumpiga tero, nikasema mtoto mzuri kama huyu hawezi fanyiwa na mie nipo, nikasogea nikawesemesha "oyaa sedere full" wakasema "haina gwera", nikawaambia "ni mori? mbona mnataka kumpiga ngeta huyo dada", jamaa wakanambia "bro acha kiraruraru basi, huu mlupo wako nini? "

nikawaambia "muacheni niwape masai mmoja", wakasema "oya kwa hio unajifanya una ngawira sana?", hapo nikaona hawa nikiwaacha wanaweza hata kumbaka ukizingtia machoni walionyesha wamenyonya cha orkokola, kwa kuwa huwa najiamini napiga makonde na baadhi ya mapigo ya judo mixer na karate nikasema nitapambana,

nikawaambia "oya wana sikieni hio haina gwera wala tantalila mie masai mmoja nawaachieni muacheni", basi jamaa mmoja akachomoa nike, daaah nikaona hapa hili disco siliwezi , bahati nzuri mfukoni nilikuwa na ngoto,

basi kwa kasi ya ajabu nilirudi nyuma halafu nikachomoa ngoto nikawaambia "oya acheni usoro, nitawadedisha", basi jamaa wakanyoosha mikono juu "oya kamanda haina daz, hatuna noma sie", nikamwambia yule binti sogea hapa karibu yangu.

aaaaahhhh nifupishe story, niliwakamata wote nikawapeleka polisi, basi ndio mtoto akanielewa sana akaniomba hadi namba, ndio ikawa hivyo sikuwahi kumpa mistari.
Sijala halafu nasoma hiviwacha nile kwanza
 
Back
Top Bottom