Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ngoja tuone ila wapo bhana .mi nabisha, humu pisi za kuhesabu, kama zipo zijitokeze
Ngoja tuone ila wapo bhana .mi nabisha, humu pisi za kuhesabu, kama zipo zijitokeze
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hiyo mistari nimpigie nani,hile pisi Kali uliipataje
![]()
Kwamba kashabanikwa tena huyu mwamba?!Hivi huyu jamaa wa kuitwa Behaviourist mbona anapigwa sana ban? wanamuonea aisee
Yaani anapigwa ban mfululizo, itakuwa ana bifu na mod flani
Au kachukua demu wa mtu nini?
kapigwa ban mfululizo 😂😂😂Kwamba kashabanikwa tena huyu mwamba?!
Daahkapigwa ban mfululizo![]()
Sijala halafu nasoma hivi
nilikuwa moko moko mida ya jioni
basi nikala chocho flani nikawaona machalii flani wanamsumbua huyo manzi kipindi hata simjui, nikajua tu wanataka kumpiga tero, nikasema mtoto mzuri kama huyu hawezi fanyiwa na mie nipo, nikasogea nikawesemesha "oyaa sedere full" wakasema "haina gwera", nikawaambia "ni mori? mbona mnataka kumpiga ngeta huyo dada", jamaa wakanambia "bro acha kiraruraru basi, huu mlupo wako nini? "
nikawaambia "muacheni niwape masai mmoja", wakasema "oya kwa hio unajifanya una ngawira sana?", hapo nikaona hawa nikiwaacha wanaweza hata kumbaka ukizingtia machoni walionyesha wamenyonya cha orkokola, kwa kuwa huwa najiamini napiga makonde na baadhi ya mapigo ya judo mixer na karate nikasema nitapambana,
nikawaambia "oya wana sikieni hio haina gwera wala tantalila mie masai mmoja nawaachieni muacheni", basi jamaa mmoja akachomoa nike, daaah nikaona hapa hili disco siliwezi , bahati nzuri mfukoni nilikuwa na ngoto,
basi kwa kasi ya ajabu nilirudi nyuma halafu nikachomoa ngoto nikawaambia "oya acheni usoro, nitawadedisha", basi jamaa wakanyoosha mikono juu "oya kamanda haina daz, hatuna noma sie", nikamwambia yule binti sogea hapa karibu yangu.
aaaaahhhh nifupishe story, niliwakamata wote nikawapeleka polisi, basi ndio mtoto akanielewa sana akaniomba hadi namba, ndio ikawa hivyo sikuwahi kumpa mistari.
wacha nile kwanza
hio story nimetunga 😂😂😂Sijala halafu naso hiviwacha nile kwanza
![]()
Mimi nimeoa mkuu baby mama mmoja hivi mkali mkalihawa mashemeji zangu japo sijaoa
vipi we umeoa?
Dūlīmhola nkoyi. Seba AkūjiweShamasiko shabuza sana bhageshi
Genehe obebe sha kwene nkoi


mkuu tumuone basi shem wetu.Mimi nimeoa mkuu baby mama mmoja hivi mkali mkali
Mungu anakuonanmekutumia tayari pm
tayari mbona.....Mungu anakuona
usinifanye nije kukudai picha pmtayari mbona.....
njoooooousinifanye nije kukudai picha pm
Anza basi mimi na maliza... Full pic wekamkuu tumuone basi shem wetu.
weka pichanjoooooo
natumia pc bestweka picha
dah hivi computer haina hata sehemu ya kuchekanatumia pc best
mm mwenyewe sioni emojnatumia pc best