Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

JamiiForums-1285838688.jpg
 
Nimekununia kabisa mdogo wangu, haiwezekani utoke nduki bila taarifa watu tunakutafuta mpaka Kituo cha polisi hola.

Nilikumiss pia totoo! Haujambo lakini weye?
Mie sijambo sana mommah , nlitoka nduki nlikua buzzy kdg nje ya JF, sasa nlivokuja kuwa sawa, nijoin huku nakuta nmepigwa kufuli , af sijajua had now kosa langu lipi.

Kna kipindi nimepitaa hapa karibun nje ya JF, nlimic uwepo wako, hakika wee n bora San kwangu.
 
Back
Top Bottom