Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Ewaaaa.....tunywe bia nasisitiza tunywe pombeeWeekend A.
ZanzibarView attachment 1950083
Thank you....nikaoge sasa nitoke ndani hahahahaha
Mwandiko wako sio mgenii...a yu ha??Lol.!
Huku tunasindikizwa na kibao cha BIA TAMUEwaaaa.....tunywe bia nasisitiza tunywe pombee
Msalimie pia,mwambie nimemmissBinamu yako ni mzima kabisa,anakusalimia sana![]()

Tunasubirikesho hampumui, nimemchukua shemejio photo shoot, mtakubali
huyu member alienda wapi?? sometimes nahs ndio Joanah View attachment 1950089
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Vp nakaribishwa Pm au
kwa kweli Una Rangi pendwa, ukipata wahuni kama sisi tunalamba kila mahali

Hakuna kosa kabisaKosa litoke wapi sasa hapo!?
Kweli ulevi upo damuni.

yani na ww ulihisi paprika ndio ww??Hata mie nilikuwa nahisi ni mtu mmoja
Nakumbuka kuna mtu aliniPM akaniambia kama ulichoandika hapo
Lakini nimekuja kugundua sio mtu mmoja








mwanangu ukiacha bange nitakupa zawadNdio aseeee 😂😂yani na ww ulihisi paprika ndio ww??mwanangu ukiacha bange nitakupa zawad
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mie sijambo sana mommahNimekununia kabisa mdogo wangu, haiwezekani utoke nduki bila taarifa watu tunakutafuta mpaka Kituo cha polisi hola.
Nilikumiss pia totoo! Haujambo lakini weye?

, nlitoka nduki nlikua buzzy kdg nje ya JF, sasa nlivokuja kuwa sawa, nijoin huku nakuta nmepigwa kufuli 

, af sijajua had now kosa langu lipi. 


