Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Ikiharibika niitunze kabatini sio?Depal lete hela nikuachie samsung hiiView attachment 1946954
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ikiharibika niitunze kabatini sio?Depal lete hela nikuachie samsung hiiView attachment 1946954
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ni kweli lakini ukiona kila ukiingia kuoga unakuta kengele zimezidi kuning'inia saaaanaaaa ujue fainali hiyoMwanaume hazeeki wewe.
Kamuulize K.lyn


utanirudshia....Ikiharibika niitunze kabatini sio?




Nimeshakugawa haki vilePost miguu kama miguu tuone zawadi za kump, Kama ni dera, jeans, au vimino, lips Kama lips tuone kama ana lips za kike au lips tu za kufunikia meno., na jicho kama jicho tuone Kama ana jicho la kuombea hela au la kutisha watoto
Astaghfirullah![]()

Zote hizoo? Naomba sadaka hiyo A9 😁Acha sister nina sim 3 kabatini kisa vioo
S5, note5 na A9 pro naziangaliaga tu.
Kioo bei ya sim used![]()
Weeeeee kwa uzee upi ulionao? Nayaonaga maandishi yako baharia 😎Ni kweli lakini ukiona kila ukiingia kuoga unakuta kengele zimezidi kuning'inia saaaanaaaa ujue fainali hiyo
Hawa watoto wazuri wazuri kama akina Depal wanataka damu ambazo bado nyekundu sio damu ya mzee kama mimi
jicho la kuombea hela au la kutisha watotoPost miguu kama miguu tuone zawadi za kump, Kama ni dera, jeans, au vimino, lips Kama lips tuone kama ana lips za kike au lips tu za kufunikia meno., na jicho kama jicho tuone Kama ana jicho la kuombea hela au la kutisha watoto 🤣🤣
Astaghfirullah 🙈
Kioo ni 280k og cha kichina 200kZote hizoo? Naomba sadaka hiyo A9![]()
Balaa la SM ndio hapo tu.Kioo ni 280k og cha kichina 200k
Acha zipambe kabati kwanza huko.mbeleni bei zitapoa tuBalaa la SM ndio hapo tu.
Narudi wewe, tulia kwanza nakunywa maji.tushatuma silaha ya maangamiz toka kwa Depal na ww tuma picha ya manzi ako akiwa kageuka tuone tabia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mie shatuma nyingi tu mbonaNilishaiweka humu siku nyingi sana picha yangu full , ya kwako ndio umenichomesha mahindi hadi leo hujanitumia
Tegeta. Ila mvua yenyewe ilikua ina-show off tu 😒😒Best wapi hii kuna weather nzuri hivi?


Hiyo mishono naipataje??
Au nitaipata kwenye ulimwengu wa Roho?![]()
Una wan awake wangapi mkuu? Maana huyu sio yule mchaga




haki wewe bintiHii picha angalau imemtendea haki sasa


We're skinny with a lit meat meat![]()
Unataka demu wako atongozwe sio maana sio kwa promo hizi