Selfika na JF: Snap it. Show it

Aiseeee tuna ugomvi mpendwa basi sorry kwa reply yangu yaishe.
Hatuna ugomvi kabisa,sisi waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba. Au unataka kunikana ?

Katika vitu vigumu kwangu ni kumchagulia neno la kumwambia mtoto wa kike,hapa nikajua nimetumia lugha ya upole,kumbe ukaelewa vibaya.
 
Hatuna ugomvi kabisa,sisi waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba. Au unataka kunikana ?

Katika vitu vigumu kwangu ni kumchagulia neno la kumwambia mtoto wa kike,hapa nikajua nimetumia lugha ya upole,kumbe ukaelewa vibaya.
Kwa nini hutaki nikuite mkuu, nakumbuka niliwahi kukuita kaka pia ulikataa.
 
Nakutania mpendwa
 
Uzuri ni kuwa ukileta ubondia wa mdomo basi ndio utakutana na ubondia wa makonzi, ila ukiwa mpole na mwenye hofu ya kufanya makosa basi utakuwa katika mikono salama mno.
Siogopi kuolewa ila naogopa kuolewa na mwanaume mbabe na bondia yaani labda huo ubabe na ubondia wake auoneshe kwa wanaume wenzie siyo kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…