Wakaka wazuri kama hawa huwakuti wanajisifu wenzangu na mimi sura za Sokwe tunasumbua mbaya, hii picha yako naihifadhi kwa matumizi yangu binafsi πππ
Oohh kumbe yeye ndiyo ataanza kuni attack?? Basi haina shida mie nitamaliza yeye akimwaga ugali mimi namwaga mboga na maji ya kunawa kabisa!!
Bahati nzuri vile vidole vya demu wake hata mimi nilivisave kwa ajili ya matumizi ya baadaye, halafu tukishamaliza kuchambana naye tumkaribishe chamani shosti wetu.