Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,938
- Thread starter
- #107,321
Dadaangu Saint Anne na mtani wangu Behaviourist tufanyeni ule upepo mchafu umepita ... Mada yetu hii ni nzuri na wengi tunakimbilia huku tukipata stress kule kwingine.... Nyie wote ni watu wema...! Natambua kutofautiana kupo hakukwepeki popote... Lakini sisi sote kwa utashi na hekima zetu tunaweza kutumia kupishana kwetu kama funzo na ukomavu wa kiakili kwa kumaliza tofauti zetu kiroho safi.... Selfika imetuunganisha basi naomba isitutenganishe... Asanteni sana na Mungu awabariki wote