Umemaliza, hapo unakuwa ni wa next level...
Ukivaa hivyo usinywe zile bia chupa zinarudishwa kiwandani, hapo ni kutembea na mdhamini wa UEFA n.k pombe flan next level...
mambo ya w'end.
Umemaliza, hapo unakuwa ni wa next level...
Ukivaa hivyo usinywe zile bia chupa zinarudishwa kiwandani, hapo ni kutembea na mdhamini wa UEFA n.k pombe flan next level...
mambo ya w'end.
Hapana ni mapenzi ya mlo upi mtu anapendelea, addition ya maharagwe na ugali wa boarding school i swear huwezi addition, nilikua nakula lakini sio level ya addition aisee...
mimi ubwabwa napiga sahani tatu, ukiniwekea na zile njegere za nazi naweza piga sahani nne kabla sijamalizia na juice lita 1, sasa unaanzaje kuniita wakishua, we unaweza hio...