heheheehh!!!
asee kuna njemba zinakula, nlisoma na njemba zina piga addition ya ugali maharagwe, mimi wakati huo natorokea mjini kati at least nile ubwabwa samaki....
Hapana ni mapenzi ya mlo upi mtu anapendelea, addition ya maharagwe na ugali wa boarding school i swear huwezi addition, nilikua nakula lakini sio level ya addition aisee...
mimi ubwabwa napiga sahani tatu, ukiniwekea na zile njegere za nazi naweza piga sahani nne kabla sijamalizia na juice lita 1, sasa unaanzaje kuniita wakishua, we unaweza hio...
heheheehh!!!
asee kuna njemba zinakula, nlisoma na njemba zina piga addition ya ugali maharagwe, mimi wakati huo natorokea mjini kati at least nile ubwabwa samaki....