Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Njoo nikupe tu. Zangu hazikatiki ila hazikui halafu sio nyeusi. Siku hizi kidogo zimekua nzuri ila ndo nazificha kwenye mawig
Tubadilishane 🤪
Ni heri kipilipili kuliko nywele ambayo haieleweki nyepesi si nyepesi, ngumu si ngumu. 'Yangu hiyo sasa, inakera ukilalia uchogo inakatika hatari.
 
View attachment 1912073
Nibandikie hapo
zimekuwa nzuri umezitibia na nini?

Me natamani nizikatie chini kabisa nitafute mafuta mazuri niwe napakaa ila sasa nikinyoa kiuanafunzi naonekana katoto
na mawigi siyawezi.
Hizi nzuri sana.


Mimi nywele yangu ikishakua tu kuichana ni mtihani,inauma mno.

Kunyoa zote natisha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nzuri sana.


Mimi nywele yangu ikishakua tu kuichana ni mtihani,inauma mno.

Kunyoa zote natisha


Sent using Jamii Forums mobile app
Nzuri mbele 😂 nyumaaa hiii kwanza hazilingani mikato nayonyoa inaniharibu mno.

Ukitoka kuoga unakausha chap unapakaa mafuta na kuchana hazitouma. Ila ukisubiri mpaka umalizane na mwili + mavazi utalia
 
Nzuri mbele
nyumaaa hiii kwanza hazilingani mikato nayonyoa inaniharibu mno.

Ukitoka kuoga unakausha chap unapakaa mafuta na kuchana hazitouma. Ila ukisubiri mpaka umalizane na mwili + mavazi utalia
Nywele zangu huwa zinakata chanio sometimes



Tuone nyuma zilivyo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…