Habari zenu wapendwa. Kama kuna mtu mnamjua yuko na ugonjwa wa sickle cell ambao unamsumbua sana aende aga khan kuna program yakuwasaidia kutopata crisis kila mara au kuisha kabisa. Aende gorofa ya kwanza kitengo cha oncology watamuangalia km wanaweza kumfanyia .hiyo huduma ni bure .