Naomba nisiulizwe kwanini nime iZoom hiyo picha to the maximum, na mtu yeyote asihusishwe na maamuzi niliyoamua kuyachukua asubuhi yote hii ππππ»ππ»ππ»
Anzia Ayubu 1:1
Nilipenda sana mazungumzo ya Mungu na Shetani "Mungu anamuuliza Shetani eti umetoka wapi Shetani, Je umemwoma mtumishi wangu Ayubu" Shetani naye anajibu nimetoka huku na huko Duniani.....
Yaani it's like mazungumzo ya watu wenye kufahamiana kwa muda mrefu, na kwa akili za Kibinadamu Mungu alikuwa na uwezo wa Kumkamata Bwana Shetani na Kumwajibisha pengine kumfunga Milele ili sisi tuishi maisha ya raha mustarehe, instead they enjoyed conversation huku Sisi wengine sasa ndiyo tunapewa kazi ya kumshinda Shetani na mambo yake yote ili Twende Mbinguni.
Kwa kweli Mungu ametupa mtihani mgumu sana, yaani Kamanda Sirro anakutana na Jambazi kuu badala ya kulikamata analiacha liendelee kutishia usalama wa watu na Mali zao ππ
Mjukuu kuna wakati mambo yanakuwa bilabila na Bibi yako, solution unakimbilia bafuni na kipande cha Mbuni unamaliza safiii kabisaπππ»ππ»ππ»