Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,999
- 137,037
Hongera.Hakuna mwenye dimples asiyejua kutabasamu. Ninavopenda tabasamu sasa![]()
Hongera.Hakuna mwenye dimples asiyejua kutabasamu. Ninavopenda tabasamu sasa![]()
Tuwekee selfie moja badoChat na picha
AMENLike na itika AAMENView attachment 1865239
I miss you
Hofu inaua piaMwenzenu mwalimu mkuu wangu msaidizi amelezwa alfajiri ya leo yuko ICU imedhihirika kabisa ni COVID, Jana alikuwa kwenye send off ya mwanae hapo Cathedral. Tumetimbwilika nae wee. Alfajiri ya leo kafikia ICU. Yaani leo kazini kila mtu kanywea wenye roho ndogo wakaanza kulia eti wanahisi wameambukizwa. Tuombeane heri Jamani
Shusha mzigoChat na picha
Tarco la nyani
kweli MkuuLakini haizidi maradhi