Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkwema mkuu wangu unaendelwaje sasa mkuu
Pole kwa mara nyingine

Hiyo shikamoo nimeona imesiriba sana tehe.....
Vizuri sana kama ni kwema mkuu

Nashukuru MUNGU naendelea vizuri kwa sasa

Akhsante tena mkuu

Teh!!...eti shikamoo Ely

Depal njoo hapa ueleze kwa mkuu Mjep kuwa umetumia kigezo kipi sitahiki mpaka ukajiaminisha kunisalimia shikamoo?
 
Vizuri sana kama ni kwema mkuu

Nashukuru MUNGU naendelea vizuri kwa sasa

Akhsante tena mkuu

Teh!!...eti shikamoo Ely

Depal njoo hapa ueleze kwa mkuu Mjep kuwa umetumia kigezo kipi sitahiki mpaka ukajiaminisha kunisalimia shikamoo?
Mbona uliitikikia? Vigezo vyangu ni kuwa nawapa shikamoo wanaume wote. 😂

Hutaki shikamoo yangu temana nayo 😂
 
Mjengo alhamdulilahnyumba ya pili hii nimekamilishaView attachment 1863207View attachment 1863206
FB_IMG_16260871731800072.jpg
 
Back
Top Bottom