Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nakusalimu boss.kuna kitu unataka kumnyima T 1990 ELY mkuu
Shikamoo.
Nakusalimu boss.kuna kitu unataka kumnyima T 1990 ELY mkuu
Marahaba mama mchungajiNakusalimu boss.
Shikamoo.
Siku hizi hata picha SinaMarahaba mama mchungaji
Nimefurahi kukuona hapa
Naamini uko poa mdogo wangu naomba uselfike hapa please umemisika

Fanya namna mkuuSiku hizi hata picha Sina
Nitajitahidi nipige.
Nitapiga tu ila sijui ni lini,Fanya namna mkuu
Hapa nawakilisha walio wengi kapicha kako ni muhimu

Kawaida kunyimana mkuu. Kupeana peana nako siyo vizuri.kuna kitu unataka kumnyima T 1990 ELY mkuu
Hahaha hebu nione zako jamaniAjabu chuga lady kukosa Lil wayne's teeth 😂😂
😂😂 ngoja mwenye kilinge aseme chochote😂
Ulikua unaandika nini hicho mkuu, kitambi kipo kipo cha kupangusia simu kioo😂😂yani nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta....itoshe kusema una shape kalumbu hope kitambi hakuna
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Tuliokula ugali hongera haituhusu? Dah
ArushaLipo wapi?
We mwenyewe mbona huna??!! Au mzamiaji 😄
Kuna kipindi nimekaa usukumani maji yao yalinibadirisha kiasi.We mwenyewe mbona huna??!! Au mzamiaji 😄
Thanks can't deny that. A small price for salvation 😅Una lips nzuri D.
Ngoja nibadili diniNatafuta rafiki mpya wa kiislamu. Niliye nae ni mchoyo
EidMubarak
Loc. MasanzaKona
View attachment 1862642