Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Hahahaha sasa voice calls hapo ndio mzuka sasa ,ila mm naonekana sana ni vile tu hunijuiWewe picha tu imekushinda kuweka..
Video/voice call utawezana nayo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitkujulia wapi wakati mimi naishi kijijini porini ndanindani huku ukingoni mwa dunia.Hahahaha sasa voice calls hapo ndio mzuka sasa ,ila mm naonekana sana ni vile tu hunijui
Mm naishi porini tena huku kwa watu wa bad ,guns. Nje nje na bado watu wananijua ok nitakutumia inboxNitkujulia wapi wakati mimi naishi kijijini porini ndanindani huku ukingoni mwa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm naishi porini tena huku kwa watu wa bad ,guns. Nje nje na bado watu wananijua ok nitakutumia inbox
Hahahaha hebu Google sehemu inaitwa Fiziporini wapi huko,nyie si ndio watu wa mjini daslam.
Weka hapa nione.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sawa.Hahahaha hebu Google sehemu inaitwa Fizi
Hahahaha inategemea ni picha gani sasa ,hivi alishinda eehHaya sawa.
Kikubwa ni ww kuweka picha.
Ulisema Italy akishinda unaweka picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha nipe matokeo basi huku porini muda wa mpira hkn
Nasikia alishinda.Hahahaha nipe matokeo basi huku porini muda wa mpira hkn
Vidonda tayari vimeshaanza kukaukaVidonda vikianza kukauka kdg tafuta hayo mafuta ya lookman. Ni mazuri sana
Vidonda tayari vimeshaanza kukauka
Hayo mafuta nimeyatafuta/ulizia sana ila sijafanikiwa kuyapata mkuu
Pole kijana.Amina
Akhsante sana mkuu
Akhsante sana mpendwaPole kijana.
Utakuwa sawa.
Amesema yanapatikana maduka ya kisunna,
Nenda nje ya misikiti ama pembezoni karibu na misikiti utapata hizo bidhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njema tu.
Vizuri sana kama ni njema tuNjema tu.
Pole sana aiseeee,nakuonea huruma sana ila ndio vile maumivu ya vidonda hatuwezi kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana kama ni njema tu
Akhsante sana kwa kunionea huruma mpendwa
Maumivu ya vidonda tunaweza kusaidiana bhana
Upo tayari nikupe maumivu ya kidonda cha jeraha la hapa begani?
Hayasaidiki hayo.
Ingekuwa yanasaidika basi mama yangu angekuwa was Kwanza kunisaidia kipindi ananiuguza..ni vile alikuwa hana Cha kufanya anaishia kunionea huruma.
Cha begani hapanamkono wangu nina kilema ujue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoo Sasa mkono si ndio nina kilemaBhasi chukua haya maumivu ya jeraha la mkononi.
Yangekuwa maumivu ya kimapenzi/mahusiano tungeweza kubadirishana mkuu?
MmmmmmmmmhOhoo Sasa mkono si ndio nina kilema
Maumivu ya mapenzi ni ya kujitakia,siwezi msaidia mtu kuyabeba.
Ya ajali huwa yantokea bahati mbaya.
Enhee kwanza tuhadithie ilikuwaje kuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app