Ni kweli sisi ni watu wenye upendo mno.
Nilikuwa nao karibu wote ila nahisi mzee ndio zaidi,,,akiwepo home naenjoy mno(si unajua wakina mama sometimes wanazingua,,hatuivi sana).
Alikuwa mtu wa kuappreciate sana ukifanya vizuri..
Kuna mambo nilijitahidi kufanya kwa bidii ili nimridhishe tu mzee wangu.
Ngoja nisiandike Sana..
.
.
.
.
Oh baba Mtumishi ngoja niendelee kukutazamia labda utawiwa utanitumia kapicha kako
Ngoja nasubiri hiyo surprise,ila amgalia isikawie sawa
.
Sent using
Jamii Forums mobile app