Wapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu
T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.
My prayers on you. Get well ASAP
T 1990 ELY