Selfika na JF: Snap it. Show it

Twenzetu Kigoma na Treni ya Deluxe kucheki mechi ya SIMBA na YANGA

TRC ikishirikiana na Clouds Media Group wamekuandalia safari kuelekea Kigoma siku ya Ijumaa jioni trh 23/July na kugeuza J2 usiku trh 25/July baada ya mechi kuisha.

Twende ukashuhudie watani wa jadi wakiminyana katika ardhi ya Kigoma.

Gharama ni
Third Class 100,000/=
Second sitting 120,000/=
Second Sleeping 150,000/=
Gharama hizo zitahusisha Nauli ya kwenda na kurudi, kiingilio uwanjani na Burudani wakati wa safari.Njoo uone Behewa linapokuwa NIGHT CLUB wkt wote wa safari.

Kwa mawasiliano zaidi piga Simu ya Shirika No 0800110042. TRC Karibu tukuhudumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajali imetokea wapi na lini?
JAH amsaidie apone na arejee afya njema km mwanzo.
 
Mpe pole Sana and get well soon
 
Duaa zetu zipamoja nae.

Mungu atamjaalia shifaa ya haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…