1. Kazi ngumu na hatarishi-
Baba
2. Kuweka mambo moyoni (msongo) kuonyesha ubaba hata kama yanaumiza -
Baba
3. Ikitokea vita, anayeenda vitani -
Baba
4. Ulevi wa kupindukia na hatarishi kwa kinachodhaniwa kupunguza stress -
Baba
5. Safari nyingi/za mara kwa mara na ndefu ambazo huongeza risk -
Baba
6. Anapotembea barabarani na wife, au hata na mtoto hukaa upande wa magari kumlinda mama/mtoto -
Baba
7.Majambazi wakivamia home anakuwa mstari wa mbele kupambana -
Baba
#MaskiniBaba
View attachment 1824803