Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahhaha dogo kumbe umeshapiga mahesabu yako makali, ndiyo maana hutaki kurudi sasa hivi mweeh
 
Hamna bana, mahali nilipo ni sahihi sana kwa afya yangu ya roho, nafsi na mwili. Sina hata wazo la kuhama, bila hata ya Baba Mchungaji
Mwenza rafiki hizi story tunapiga vizuri tukiwa pamoja nakupa mifano kama yote..

Ila kama nilivyosema uwe uwata, uwe sehemu nyingine as long hakuna sehemu wanahubiri ukatende dhambi upo sehemu sahihi kikubwa kufika mbinguni
 
Hahahhaha dogo kumbe umeshapiga mahesabu yako makali, ndiyo maana hutaki kurudi sasa hivi mweeh
Mimi huwa napenda kutathmini mambo kabla sijafanya maamuzi.
Huwa napiga hesabu zangu vizuri.

Unakuta naingia tu,halafu huku nje anatokea mtu wa maana

Sasa sijui unaanza kurudi tena nje

Inakuwa kumchezea Mungu Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahhaa daah, haya subiri basi umpate mtu wa maana kwanza then ndiyo utajua ufanyaje
 
😂😂😂😂😂fata utaratibu sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…