Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Ukiwa na mzigo mkubwa ni tatizo..Nyie kumbe kweli, mimi sikuwahi kulifuatilia na kuvaa bra. Sasa wenye mizigo yetu na shimizi jamani mweeh.
Hivi na uzazi wa mpango hauruhusiwi? Jamani jamani kuna sehemu niliendaga nikamkuta huyo mama, ana watoto wengi, hawajapishana umri na anaendelea kufyatua kila inapowezekana. Ndiyo majirani wakawa wanateta eti hawaruhusiwi kutumia uzazi wa mpango
Nimezaliwa tu huko ila nipo huko kama sipoHongera mdogo wangu..
Umechagua fungu lililo jema..nakumbuka kuna familia moja niliwahi kwenda wanasali faraghani.
Siku moja Jumapili wakataka kunipeleka changamoto ikaja kwenye nguo. Kwanza skert au gauni linapaswa kufika miguuni. Blauzi inatakiwa kufunika mikono.
Mimi nikasema nyie nendeni tu. Ila ni watu mna UPENDO sana..
Sana tu wanapendeza sema sasa wanaruhusu hizi za kisasa kweli!!!?Ila ukiwakuta wengi wanapendeza wenyewe na wanavaa kwa adabu sana
UmependezaaNdio pigo zetu zile
Namna hii,unikute nimepitisha pasi kwenye rinda langu kaliii hadi linaweza kukata mtuView attachment 1789508
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo..Nyie kumbe kweli, mimi sikuwahi kulifuatilia na kuvaa bra. Sasa wenye mizigo yetu na shimizi jamani mweeh.
Hivi na uzazi wa mpango hauruhusiwi? Jamani jamani kuna sehemu niliendaga nikamkuta huyo mama, ana watoto wengi, hawajapishana umri na anaendelea kufyatua kila inapowezekana. Ndiyo majirani wakawa wanateta eti hawaruhusiwi kutumia uzazi wa mpango
Yaani kutubu ni Kama kuingia rasmi..
Mfano umezaliwa uwata yaani wazazi wako wanasali humo...wewe unakuwa unaenda kusali hadi utakapokuwa mtu mzima Sasa ndio unatakiwa utubu,huingii tena kwa mgongo wa wazazi.
Yaani kama kupata kipaimara.
Mf mtu akitaka kuoa ,anapeleka kwa uongozi,anaweza ambatanisha majina ama akaenda tu hvyohivyo ,miaka hii kidogo wamelegeza, anaweza enda na majina pale..baada ya maombi wanamchagulia mmoja.
Hairuhisiwi kudate,ati sijui kaka amekupenda aje akuapproach,akikutaka na wewe ukakubali na ikabainika mna mahusiano basi tayari nyie mmejitenga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana tu wanapendeza sema sasa wanaruhusu hizi za kisasa kweli!!!?
Ukiwa na mzigo mkubwa ni tatizo..
Lakini huwa yanakaa tu vizuri.
Uzazi wa mpango ni dhambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo..
Mizigo na shimizi hivyo hivyo
Ila vijana wanavaa shimizi zile zenye Bra zinasaidia.
Wameimba "Road that will lead you home" sio hivyo ulivyoandika..lakini kwa kuwa ni Lord bado remix yako ina make sense.No matter where you go
Remember the Lord that will lead you
That will lead youView attachment 1789448
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniangushe mdogo wangu weka vitu hapa tafadhaliTukianza na wewe ndugu Mjep
ukiokoka okoka kila kitu... 😂Hongera,Mungu akusaidie na iwe hivyo
Sema kwa wanaume hawakazi sana kama upande wetu wadada
Mavazi kidogo ni changamoto.
Kuna mambo yananoga hii dunia,..mimi nimejifunzia kupiga ngoma huko uwata.
Yote ni kwa utukufu wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
R
Shida inaminya Uhuru wa wadadaAaah kumbe kutubu ni kama kupata kipaimara.
Hiyo system ya kutodate inasaidia sana kizazi hiki kilichokengeuka. Sio mtu mmoja humohumo kanisani ana mahusiano na watu kibao. Ila ukute sasa kuna kamtu unatamani Bwana aseme naye juu yako, afu unakuja kuletewa mwingine daah; ndiyo mambo ya rohoni sasa
Kuna harusi niliwahi kuiangalia kwenye "My Perfect Wedding South Africa". Na wenyewe nafikiri wana utaratibu kama huo, ingawa sikumbuki walikuwa ni dhehebu gani. Mkaka alipeleka maombi ya uchumba, siku majibu yaliporudi mdada akaitwa tu kwamba yeye ndiye aliyeonekana kwenye maombi. Baada ya hapo ni hakuna kuonana, wala kubadilsihana namba za simu, kukiwa na la msingi la kuwafanya muonane, mtaunganishwa na mtu wa kuheshimika, na mtakutana na yeye akiwepo imetoka hadi ndoa.
Najua ila Mie nimeibadilishaWameimba "Road that will lead you home" sio hivyo ulivyoandika..lakini kwa kuwa ni Lord bado remix yako ina make sense.
Jina ni Uwata sema faraghani limekuwa maarufu sanaa...Hivi faraghani ndiyo wale wanaovaaga sketi za marinda eeh?
Yaani mavazi si tatizo kabisa yaani..ukiokoka okoka kila kitu...
Mavazi sio shida ila shida nazani unaielewa...