Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,881 Saint anne said: NdiwoooView attachment 1223034 Click to expand... π π π jamani nyigu wangu hips si hizo hapo naziona kabisa tena umechongeka uzuri mpk rahaa β€ β€ β€
Saint anne said: NdiwoooView attachment 1223034 Click to expand... π π π jamani nyigu wangu hips si hizo hapo naziona kabisa tena umechongeka uzuri mpk rahaa β€ β€ β€
Gunther Schwagermann JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 7,354 Reaction score 17,684 Oct 3, 2019 #9,882 Wengine inabidi tuweke za utotoni ambazo ni vigumu kutambulika sura zetu.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,883 Hawachi said: Yaani angefunika uchafu kwa rangi nzuri picha nimezihifadhi siku akileta fyokooo namuwekea vidole vya inzi wake Click to expand... Hawezi kuleta fyoko tena. Kabaki kusema tunatumia tecno
Hawachi said: Yaani angefunika uchafu kwa rangi nzuri picha nimezihifadhi siku akileta fyokooo namuwekea vidole vya inzi wake Click to expand... Hawezi kuleta fyoko tena. Kabaki kusema tunatumia tecno
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,884 Saint anne said: Kotekote Sina Click to expand... Haiwezekani.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,885 Karma said: naona umemkomalia Click to expand... Alisumbua sana.akijiona kiranja wa wachomoa betri. Na kusema sisi ni wabovu. Yaani mpaka nisahau hiki kituko alichotupostia sio Leo wala kesho
Karma said: naona umemkomalia Click to expand... Alisumbua sana.akijiona kiranja wa wachomoa betri. Na kusema sisi ni wabovu. Yaani mpaka nisahau hiki kituko alichotupostia sio Leo wala kesho
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Oct 3, 2019 #9,886 Hannah said: Hawezi kuleta fyoko tena. Kabaki kusema tunatumia tecno Click to expand... Anajuta why kaweka photo ashukuliwe kapeace kaenda nae vizuri mno ππππ
Hannah said: Hawezi kuleta fyoko tena. Kabaki kusema tunatumia tecno Click to expand... Anajuta why kaweka photo ashukuliwe kapeace kaenda nae vizuri mno ππππ
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,887 Hannah said: Haiwezekani. Click to expand... Haki tena
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,888 Cresida said: Sasa si ampeleke dem wame kunyoa kama mimi tu kuliko kuweka wigi la 8,000 la kuchomachoma. Click to expand... Wigi la 8,000? Hizo ni rasta bunda mbili jumla 3 kasuka yebo fasta. Wigi la elfu nane ana hela ya kumpa?
Cresida said: Sasa si ampeleke dem wame kunyoa kama mimi tu kuliko kuweka wigi la 8,000 la kuchomachoma. Click to expand... Wigi la 8,000? Hizo ni rasta bunda mbili jumla 3 kasuka yebo fasta. Wigi la elfu nane ana hela ya kumpa?
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,889 Saint anne said: HazipoView attachment 1223046 Click to expand... mie naziona atii
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,890 Hannah said: Wigi la 8,000? Hizo ni rasta bunda mbili jumla 3 kasuka yebo fasta. Wigi la elfu nane ana hela ya kumpa? Click to expand... msameheni wajameni si yameshaisha π π π
Hannah said: Wigi la 8,000? Hizo ni rasta bunda mbili jumla 3 kasuka yebo fasta. Wigi la elfu nane ana hela ya kumpa? Click to expand... msameheni wajameni si yameshaisha π π π
ni kweli JF-Expert Member Joined Feb 1, 2017 Posts 236 Reaction score 288 Oct 3, 2019 #9,891 Lizarazu said: Hahahahha.... Halafu huko ulipo hata ukikutana na mwenye nyama zake basi ujue ni silicon zimehusika. Hakika urudi tu nyumbani kuna vitu kibao tena nachuroo. Click to expand...
Lizarazu said: Hahahahha.... Halafu huko ulipo hata ukikutana na mwenye nyama zake basi ujue ni silicon zimehusika. Hakika urudi tu nyumbani kuna vitu kibao tena nachuroo. Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,892 Pulisic CFC said: Aisee uko vizuri malaika wa giza Click to expand... Asante
mkwepu jr JF-Expert Member Joined Apr 20, 2014 Posts 558 Reaction score 1,028 Oct 3, 2019 #9,893 Inatosha sasa vibaya kumsema mwanamke mwenzio kiasi icho duh Hannah said: Halafu kama vile kajichubua. Ila jamani kuna kuwa wembamba na kukongoroka. Huyo Dada kakongoroka sijui halagi + kukosa matunzo. Click to expand...
Inatosha sasa vibaya kumsema mwanamke mwenzio kiasi icho duh Hannah said: Halafu kama vile kajichubua. Ila jamani kuna kuwa wembamba na kukongoroka. Huyo Dada kakongoroka sijui halagi + kukosa matunzo. Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,894 Hawachi said: Anajuta why kaweka photo ashukuliwe kapeace kaenda nae vizuri mno Click to expand... Kapeace kweli anajua kula sahani moja na kipofu.
Hawachi said: Anajuta why kaweka photo ashukuliwe kapeace kaenda nae vizuri mno Click to expand... Kapeace kweli anajua kula sahani moja na kipofu.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,895 Saint anne said: HazipoView attachment 1223046 Click to expand... Gauni inachangia Hakuna chochote
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,896 Naingia kulala sasa. Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.
Naingia kulala sasa. Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,897 ArIeN said: msameheni wajameni si yameshaisha Click to expand... Haya hayaishi kirahisi. Nabakiza na ya kesho
ArIeN said: msameheni wajameni si yameshaisha Click to expand... Haya hayaishi kirahisi. Nabakiza na ya kesho
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 3, 2019 #9,898 mkwepu jr said: Inatosha sasa vibaya kumsema mwanamke mwenzio kiasi icho duh Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,899 Hannah said: Alisumbua sana.akijiona kiranja wa wachomoa betri. Na kusema sisi ni wabovu. Yaani mpaka nisahau hiki kituko alichotupostia sio Leo wala kesho Click to expand... Tatizo kiuno kimechelewa kutumwa Ile ya juzi ipo Kama ya kisomali hivi waliiona!? Hannah dadangu kwa heshima yangu naomba unyamaze please
Hannah said: Alisumbua sana.akijiona kiranja wa wachomoa betri. Na kusema sisi ni wabovu. Yaani mpaka nisahau hiki kituko alichotupostia sio Leo wala kesho Click to expand... Tatizo kiuno kimechelewa kutumwa Ile ya juzi ipo Kama ya kisomali hivi waliiona!? Hannah dadangu kwa heshima yangu naomba unyamaze please
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,900 Hawachi said: Hizi tundu za pua zimejua kujiachia mno (Mungu nisamehe maana huyu kiumbe anajua kukosoa wenzie) Click to expand... Hawachi dada kipenzi Kwa heshima yangu nakuomba utulie .
Hawachi said: Hizi tundu za pua zimejua kujiachia mno (Mungu nisamehe maana huyu kiumbe anajua kukosoa wenzie) Click to expand... Hawachi dada kipenzi Kwa heshima yangu nakuomba utulie .