Selfika na JF: Snap it. Show it

Njoo tusome kitabu cha Wimbo uliobora kutoka kwa mtunzi mashuhuri, Mfalme Sulemani [emoji85][emoji85][emoji1322][emoji1322]
Suleiman alikuwa mwenye hekima sana lakini cha kushangaza wanaume mmecopy tabia mbaya tu kutoka kwa Suleiman.

Nataka Tenzi za Rohoni;Ni sikukuu
 
Kanisa la the .......ministry

Ukija nitakupa code, but I hope you are going to enjoy the service [emoji85][emoji87][emoji1322][emoji1322]
Kanisa halina jina??
Halafu huwa siendi makanisa ya vichochoroni..
Njoo Parokia ya Mtakatifu Antony wa Padua pale rufaa utanikuta.
 

Uko pori gani Chief
 
Kanisa halina jina??
Halafu huwa siendi makanisa ya vichochoroni..
Njoo Parokia ya Mtakatifu Antony wa Padua pale rufaa utanikuta.
Kweli wewe ile zawadi itakufaa, muda wote huo upo kwenye viunga vya kanisaπŸ™ŒπŸ™Œ, muda wa kuvunja mifupa ndiyo huu jirani, nitapita kukuchukua twende ukavunje mfupa wa bata kule mtaani πŸ˜‹πŸ˜œπŸƒπŸ»πŸƒπŸ»
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…