Mungu baba wa Mbinguni, asante kwa kutuamsha salama. Tunaomba neema yako siku ya leo iwe ya baraka, amani na ulinzi wako uwe nasi
Tunaomba tukiamini kwamba utatenda. Ni katika jina la mwanao mpendwa Yesu Kristo na Roho wako Mtakatifu tunaomba, amini.