Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmmh, mbona hatari hii. Hamna uhitaji? God have mercy


Yaani hata mimi kuna wakati huwa najishangaa ila ndiyo nimejikuta tu nimezaliwa hivyo! Kwahiyo mwisho wa siku nikaona haya mambo ya mapenzi pengine labda siyo fungu langu wacha tu niwaachie wengine wanaoyafaidi!

Ujue unanifanya hadi naona aibu sasa ninavyojielezea
 
Mungu baba wa Mbinguni, asante kwa kutuamsha salama. Tunaomba neema yako siku ya leo iwe ya baraka, amani na ulinzi wako uwe nasi

Tunaomba tukiamini kwamba utatenda. Ni katika jina la mwanao mpendwa Yesu Kristo na Roho wako Mtakatifu tunaomba, amini.
 
Amen


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…