Selfika na JF: Snap it. Show it

Oh pole Sana mkuu

Nakuelewa vizuri Sana aiseee.

Ila nakushauri usijute kwa yaliyopita.
Yakubali,angalia mbele kwa ujasiri.

Ila hayo mambo ni kawaida kutokea,
Wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho kupitia hayo.
Mshukuru Mungu kwa yote na kubali halikuwa fungu lako .

Mungu hakupi unachotaka bali hukupa unachostahili.
Amani ya Mungu ipitayo fahamu zote ikuhifadhi
,Mungu akupe faraja na agange majeraha yako yote.
Akuinulie uso wake na kukupa amani.

Ukipata muda soma hilo hilo somo,
Nina imani Mungu atakwenda kuponya majeraha yako yote.

Mungu wangu akubariki Sana
View attachment UPONYAJI WA MAJERAHA YA NDANI.pdf
 
Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi.

Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui

Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo

Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078
Daaah.. jaman si tualikane tu nije nkusaidie kuyavuna/alika majiran zako, au na kugawa inakuuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…