Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,415 Reaction score 27,296 Apr 16, 2021 #97,941 Doon said: Kwa sasa, najiweka busy kwenye project zangu. Natumai ipo siku moyo wangu utakubali hakujawahi kuwepo huyo binti. Ahsante Mkuu kwa ushauri. Click to expand... Pamoja mkuu
Doon said: Kwa sasa, najiweka busy kwenye project zangu. Natumai ipo siku moyo wangu utakubali hakujawahi kuwepo huyo binti. Ahsante Mkuu kwa ushauri. Click to expand... Pamoja mkuu
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Apr 17, 2021 #97,942 Saint Anne said: Kuna mtu kule watsap ameniambia akili niliziacha Chimwaga Nadhani inaweza kuwa kweli Click to expand... Na kweli hajakosea
Saint Anne said: Kuna mtu kule watsap ameniambia akili niliziacha Chimwaga Nadhani inaweza kuwa kweli Click to expand... Na kweli hajakosea
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Apr 17, 2021 #97,943 Saint Anne said: Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi. Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078 Click to expand... Mwee eti yananipa pressure yameiva kwa mpigo
Saint Anne said: Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi. Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078 Click to expand... Mwee eti yananipa pressure yameiva kwa mpigo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 17, 2021 #97,944 Karma said: Mwee eti yananipa pressure yameiva kwa mpigo Click to expand... Mgiriki Jr VI said: Ongeza speed ya kula... Click to expand... Hadi Sasa naona nimeshayashinda japo mnyukano ulikuwa mkali Sana. Yamebaki matatu tu ambayo asubuhi nikiamua nayamaliza tu!
Karma said: Mwee eti yananipa pressure yameiva kwa mpigo Click to expand... Mgiriki Jr VI said: Ongeza speed ya kula... Click to expand... Hadi Sasa naona nimeshayashinda japo mnyukano ulikuwa mkali Sana. Yamebaki matatu tu ambayo asubuhi nikiamua nayamaliza tu!
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 17, 2021 #97,945 Karma said: Na kweli hajakosea Click to expand... Mweee Halafu sijui ni kweli maana hata mm mwenyewe sijielewagi Mara nyingine Isije tu kuwa kweli zilibaki Chimwaga
Karma said: Na kweli hajakosea Click to expand... Mweee Halafu sijui ni kweli maana hata mm mwenyewe sijielewagi Mara nyingine Isije tu kuwa kweli zilibaki Chimwaga
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 17, 2021 #97,946 Doon said: Hii ni moja ya dhoruba kali sana kuwahi kunikumba in my lifetime. Chanzo cha yote kuhama shule. Shule niliyosoma form 1 na 2 haikuwa vizuri kitaaluma, ndipo baba yangu akaamua kunihamishia shule ya kina Sarah. Toka form 3 when I first met her I loved her so much. Najuta kuhama shule. Click to expand... Oh pole Sana mkuu Nakuelewa vizuri Sana aiseee. Ila nakushauri usijute kwa yaliyopita. Yakubali,angalia mbele kwa ujasiri. Ila hayo mambo ni kawaida kutokea, Wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho kupitia hayo. Mshukuru Mungu kwa yote na kubali halikuwa fungu lako . Mungu hakupi unachotaka bali hukupa unachostahili. Amani ya Mungu ipitayo fahamu zote ikuhifadhi,Mungu akupe faraja na agange majeraha yako yote. Akuinulie uso wake na kukupa amani. Ukipata muda soma hilo hilo somo, Nina imani Mungu atakwenda kuponya majeraha yako yote. Mungu wangu akubariki SanaView attachment UPONYAJI WA MAJERAHA YA NDANI.pdf
Doon said: Hii ni moja ya dhoruba kali sana kuwahi kunikumba in my lifetime. Chanzo cha yote kuhama shule. Shule niliyosoma form 1 na 2 haikuwa vizuri kitaaluma, ndipo baba yangu akaamua kunihamishia shule ya kina Sarah. Toka form 3 when I first met her I loved her so much. Najuta kuhama shule. Click to expand... Oh pole Sana mkuu Nakuelewa vizuri Sana aiseee. Ila nakushauri usijute kwa yaliyopita. Yakubali,angalia mbele kwa ujasiri. Ila hayo mambo ni kawaida kutokea, Wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho kupitia hayo. Mshukuru Mungu kwa yote na kubali halikuwa fungu lako . Mungu hakupi unachotaka bali hukupa unachostahili. Amani ya Mungu ipitayo fahamu zote ikuhifadhi,Mungu akupe faraja na agange majeraha yako yote. Akuinulie uso wake na kukupa amani. Ukipata muda soma hilo hilo somo, Nina imani Mungu atakwenda kuponya majeraha yako yote. Mungu wangu akubariki SanaView attachment UPONYAJI WA MAJERAHA YA NDANI.pdf
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 17, 2021 #97,947 Mgiriki Jr VI said: ninawindwa nangojea watesi wangu walale.. Click to expand... Wameshalala Haya weka boss
Mgiriki Jr VI said: ninawindwa nangojea watesi wangu walale.. Click to expand... Wameshalala Haya weka boss
herman joshua JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 1,982 Reaction score 3,248 Apr 17, 2021 #97,948
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Apr 17, 2021 #97,949 Wewe ni Mungu juu ya miungu Wewe ni BWANA juu ya mabwana Ufalme Wako wadumu milele Amina
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Apr 17, 2021 #97,950 Saint Anne said: Hadi Sasa naona nimeshayashinda japo mnyukano ulikuwa mkali Sana. Yamebaki matatu tu ambayo asubuhi nikiamua nayamaliza tu! View attachment 1754115 Click to expand...
Saint Anne said: Hadi Sasa naona nimeshayashinda japo mnyukano ulikuwa mkali Sana. Yamebaki matatu tu ambayo asubuhi nikiamua nayamaliza tu! View attachment 1754115 Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Apr 17, 2021 #97,951 Saint Anne said: Mweee Halafu sijui ni kweli maana hata mm mwenyewe sijielewagi Mara nyingine Isije tu kuwa kweli zilibaki Chimwaga Click to expand...
Saint Anne said: Mweee Halafu sijui ni kweli maana hata mm mwenyewe sijielewagi Mara nyingine Isije tu kuwa kweli zilibaki Chimwaga Click to expand...
herman joshua JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 1,982 Reaction score 3,248 Apr 17, 2021 #97,952 👀 Karma Utashitakiwa kwa kutolala
herman joshua JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 1,982 Reaction score 3,248 Apr 17, 2021 #97,953 Zamu yetu jaman, karibun tupate daku
herman joshua JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 1,982 Reaction score 3,248 Apr 17, 2021 #97,954 blackcornshman said: View attachment 1754134 Click to expand... Mapopo
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,374 Reaction score 38,248 Apr 17, 2021 #97,955 . Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Apr 17, 2021 #97,956 qeen jojo said: CSJack Palladino View attachment 1754065 Click to expand... Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
qeen jojo said: CSJack Palladino View attachment 1754065 Click to expand... Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
herman joshua JF-Expert Member Joined Dec 30, 2018 Posts 1,982 Reaction score 3,248 Apr 17, 2021 #97,957 Saint Anne said: Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi. Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078 Click to expand... Daaah.. jaman si tualikane tu nije nkusaidie kuyavuna/alika majiran zako, au na kugawa inakuuma
Saint Anne said: Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi. Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078 Click to expand... Daaah.. jaman si tualikane tu nije nkusaidie kuyavuna/alika majiran zako, au na kugawa inakuuma
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Apr 17, 2021 #97,958 Saint Anne said: Ngoja nipige vyombo kwanza. Nitaweka nzimanzima Click to expand... Kama hadi mwalimu alipiga vyombo,wewe ni nani hata usipige vyombo!
Saint Anne said: Ngoja nipige vyombo kwanza. Nitaweka nzimanzima Click to expand... Kama hadi mwalimu alipiga vyombo,wewe ni nani hata usipige vyombo!
qeen jojo JF-Expert Member Joined Jan 7, 2021 Posts 1,246 Reaction score 3,729 Apr 17, 2021 #97,960 Mgiriki Jr VI said: Au ndo hatutambuliki Click to expand... itakuwa