Pamoja mkuuKwa sasa, najiweka busy kwenye project zangu. Natumai ipo siku moyo wangu utakubali hakujawahi kuwepo huyo binti.
Ahsante Mkuu kwa ushauri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu kule watsap ameniambia akili niliziacha Chimwaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani inaweza kuwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi.
Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui[emoji1787]
Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo[emoji23]
Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwee eti yananipa pressure yameiva kwa mpigo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ongeza speed ya kula... [emoji23]
Mweee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kweli hajakosea
Oh pole Sana mkuu[emoji26]Hii ni moja ya dhoruba kali sana kuwahi kunikumba in my lifetime.
Chanzo cha yote kuhama shule.
Shule niliyosoma form 1 na 2 haikuwa vizuri kitaaluma, ndipo baba yangu akaamua kunihamishia shule ya kina Sarah.
Toka form 3 when I first met her I loved her so much.
Najuta kuhama shule.
Wameshalala[emoji1787]ninawindwa nangojea watesi wangu walale..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi Sasa naona nimeshayashinda japo mnyukano ulikuwa mkali Sana.
Yamebaki matatu tu ambayo asubuhi nikiamua nayamaliza tu!
View attachment 1754115
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mweee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]
Halafu sijui ni kweli maana hata mm mwenyewe sijielewagi Mara nyingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Isije tu kuwa kweli zilibaki Chimwaga[emoji1787]
[emoji848]CS[emoji5][emoji5][emoji5]Jack Palladino View attachment 1754065
Daaah.. jaman si tualikane tu nije nkusaidie kuyavuna/alika majiran zako, au na kugawa inakuumaNashangaa kuna watu wanakula bila chumvi.
Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui[emoji1787]
Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo[emoji23]
Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078
Kama hadi mwalimu alipiga vyombo,wewe ni nani hata usipige vyombo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nipige vyombo kwanza.
Nitaweka nzimanzima
itakuwaAu ndo hatutambuliki