Selfika na JF: Snap it. Show it

Labda kama nmechanganya, coz ilikuwa n mwaka jana mwezi wa 2 tukiwa tunavuna mahindi tulikuta na nyoka flan hv n wanene afu wafupi, pamoja na kupanda mgongini lakin hakuleta shida yoyote mpaka tunakuja kushtuka kuwa n nyoka tukawapiga na kuwaua wanaowajua vzur ndio wakaniambia hvyo "hao nyoka hawanaga shida". hv hao kifutu ndo wale wanatanuaga vchwa or...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…