Morogoro ni mpana umbali kutoka centre kwenda huko mahenge huko si mchezo, ukizingatia barabara halina lami ni tabu tupu..
Ila kuivuka moro kutokea pwani kwenda dom ni dk 0 tu.
Siyo mimi wala wewe tu! Wengi wanamkubali kwa sababu wanadhani yuko hivo kumbe mweee fikajapo na fimo!
Si unajua wanawake wengi JF wanapenda wale wanaume ambao wanaonekana wako very decent kwa sababu kwenye dunia ya sasa wamebaki wachache na wanahesabika! Binafsi nilishaanza hadi kumpongeza aliyenaye kuwa ana bahati!
Mkuu waongelee hivyo nyoka wengine ila siyo kifutu! Kifutu unaambiwa hasubiri eti umchokoze atakugonga hata kama huna muda naye na ukikimbia unajisumbua maana ana mbio kuliko binadamu yeyote yule!
Zamani tulidanganywa sana kuhusu vifutu kuwa eti hadi ukiwachokoza ndiyo wanakugonga! Lakini huyo ukikutana naye ni uchichimame uchikae, uchikimbie uchitembee, uchiiname uchichuchumae!